27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumtambua huyo, lakini walipomhukumu walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ ambayo husomwa kwa sauti kila sabato.
27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumjua Huyu,+ bali, walipokuwa wakitenda wakiwa waamuzi, walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ mambo ambayo husomwa kwa sauti kubwa kila Sabato,