23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+
10 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, iambie nyumba ya Israeli, ‘Ninyi mmesema hivi: “Kwa sababu maasi yetu na dhambi zetu ziko juu yetu nasi tunaozea humo,+ basi tutawezaje kuendelea kuishi?” ’+