Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+

  • Ezekieli 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, iambie nyumba ya Israeli, ‘Ninyi mmesema hivi: “Kwa sababu maasi yetu na dhambi zetu ziko juu yetu nasi tunaozea humo,+ basi tutawezaje kuendelea kuishi?” ’+

  • Waroma 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 dhiki na taabu, juu ya nafsi ya kila mtu anayefanya mabaya, ya Myahudi+ kwanza na pia ya Mgiriki;+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki