Ezekieli 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie hivi watu wa nyumba ya Israeli: ‘Ninyi mmesema hivi: “Maasi yetu na dhambi zetu zinatulemea sana na kutufanya tudhoofike;+ basi tunawezaje kuendelea kuishi?”’+
10 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie hivi watu wa nyumba ya Israeli: ‘Ninyi mmesema hivi: “Maasi yetu na dhambi zetu zinatulemea sana na kutufanya tudhoofike;+ basi tunawezaje kuendelea kuishi?”’+