Mambo ya Walawi 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wale watakaobaki wataachwa waoze katika nchi za maadui wenu+ kwa sababu ya dhambi zenu. Naam, wataozea huko kwa sababu ya dhambi za baba zao.+ Isaya 64:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na sisi sote tumekuwa kama mtu asiye safi,Na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama kitambaa cha hedhi.+ Sisi sote tutanyauka kama jani,Na makosa yetu yatatupeperusha kama upepo. Ezekieli 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Vilemba vyenu vitakuwa kwenye vichwa vyenu na viatu vyenu kwenye miguu yenu. Hamtaomboleza wala kulia. Badala yake mtaoza katika makosa yenu,+ na kila mmoja wenu atamlilia mwenzake kwa maumivu.
39 Wale watakaobaki wataachwa waoze katika nchi za maadui wenu+ kwa sababu ya dhambi zenu. Naam, wataozea huko kwa sababu ya dhambi za baba zao.+
6 Na sisi sote tumekuwa kama mtu asiye safi,Na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama kitambaa cha hedhi.+ Sisi sote tutanyauka kama jani,Na makosa yetu yatatupeperusha kama upepo.
23 Vilemba vyenu vitakuwa kwenye vichwa vyenu na viatu vyenu kwenye miguu yenu. Hamtaomboleza wala kulia. Badala yake mtaoza katika makosa yenu,+ na kila mmoja wenu atamlilia mwenzake kwa maumivu.