Mambo ya Walawi 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wale watakaobaki wataachwa waoze katika nchi za maadui wenu+ kwa sababu ya dhambi zenu. Naam, wataozea huko kwa sababu ya dhambi za baba zao.+ Ezekieli 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie hivi watu wa nyumba ya Israeli: ‘Ninyi mmesema hivi: “Maasi yetu na dhambi zetu zinatulemea sana na kutufanya tudhoofike;+ basi tunawezaje kuendelea kuishi?”’+
39 Wale watakaobaki wataachwa waoze katika nchi za maadui wenu+ kwa sababu ya dhambi zenu. Naam, wataozea huko kwa sababu ya dhambi za baba zao.+
10 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie hivi watu wa nyumba ya Israeli: ‘Ninyi mmesema hivi: “Maasi yetu na dhambi zetu zinatulemea sana na kutufanya tudhoofike;+ basi tunawezaje kuendelea kuishi?”’+