Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.

  • Isaya 64:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+

  • Ezekieli 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nacho kitambaa chenu cha kichwa kitakuwa vichwani mwenu, navyo viatu vyenu vitakuwa miguuni penu. Hamtajipiga-piga wala hamtalia,+ nanyi mtalazimika kuoza katika makosa yenu,+ nanyi hakika mtaugua kila mtu pamoja na mwenzake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki