39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.
6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+
23 Nacho kitambaa chenu cha kichwa kitakuwa vichwani mwenu, navyo viatu vyenu vitakuwa miguuni penu. Hamtajipiga-piga wala hamtalia,+ nanyi mtalazimika kuoza katika makosa yenu,+ nanyi hakika mtaugua kila mtu pamoja na mwenzake.+