Ayubu 27:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Waokokaji wake mwenyewe watazikwa wakati wa tauni yenye kufisha,Na wajane wao wenyewe hawatalia.+ Zaburi 78:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Nao makuhani wake, wakaangushwa kwa upanga,+Na wajane wao hawakulia.+