39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.
10 “Basi kwa habari yako wewe, Ee mwana wa binadamu, iambie nyumba ya Israeli, ‘Ninyi mmesema hivi: “Kwa sababu maasi yetu na dhambi zetu ziko juu yetu nasi tunaozea humo,+ basi tutawezaje kuendelea kuishi?” ’+