5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+
36 Mwishowe mfalme akatuma watu na kumwita Shimei,+ akamwambia: “Jijengee nyumba katika Yerusalemu, nawe lazima ukae humo wala usitoke kwenda mahali hapa na pale.
44 Naye mfalme akaendelea kumwambia Shimei: “Wewe mwenyewe unajua vema mabaya yote ambayo moyo wako unajua vema kwamba ulimtendea Daudi baba yangu;+ na Yehova hakika atarudisha mabaya yako juu ya kichwa chako mwenyewe.+