22 “Ninyi msio na uzoefu mtaendelea mpaka wakati gani kupenda kutokuwa na ujuzi?+ Nanyi wenye dhihaka mtaendelea mpaka wakati gani kujitakia dhihaka tupu?+ Nanyi wajinga mtaendelea mpaka wakati gani kuchukia ujuzi?+
20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+