Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+

  • 1 Samweli 17:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwa hiyo Mfilisti akamwambia Daudi: “Je, mimi ni mbwa+ hivi kwamba unijie na fimbo?” Basi huyo Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.+

  • Methali 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Ninyi msio na uzoefu mtaendelea mpaka wakati gani kupenda kutokuwa na ujuzi?+ Nanyi wenye dhihaka mtaendelea mpaka wakati gani kujitakia dhihaka tupu?+ Nanyi wajinga mtaendelea mpaka wakati gani kuchukia ujuzi?+

  • Methali 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kama ndege alivyo na sababu ya kukimbia na mbayuwayu alivyo na sababu ya kuruka, hivyo laana haiji bila sababu halisi.+

  • Mhubiri 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+

  • Matendo 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki