2 Mambo ya Nyakati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+ Methali 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini! Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+
19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+
12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!
20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+