1 Samweli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, mfalme wa Israeli ametoka nje kumfuata nani? Unamfuatilia nani? Mbwa aliyekufa?+ Kiroboto mmoja?+ 2 Samweli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi akasujudu na kusema: “Mtumishi wako ni nani, hata ukageuza uso wako kuelekea mbwa aliyekufa+ kama mimi?” 2 Samweli 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+ 2 Wafalme 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Hazaeli akasema: “Mtumishi wako ni nani, ambaye ni mbwa+ tu, ndipo aweze kufanya jambo hili kuu?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha wewe kuwa mfalme juu ya Siria.”+ Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
14 Je, mfalme wa Israeli ametoka nje kumfuata nani? Unamfuatilia nani? Mbwa aliyekufa?+ Kiroboto mmoja?+
8 Basi akasujudu na kusema: “Mtumishi wako ni nani, hata ukageuza uso wako kuelekea mbwa aliyekufa+ kama mimi?”
9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+
13 Basi Hazaeli akasema: “Mtumishi wako ni nani, ambaye ni mbwa+ tu, ndipo aweze kufanya jambo hili kuu?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha wewe kuwa mfalme juu ya Siria.”+