1 Samweli 17:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo Mfilisti akamwambia Daudi: “Je, mimi ni mbwa+ hivi kwamba unijie na fimbo?” Basi huyo Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.+ 2 Samweli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi akasujudu na kusema: “Mtumishi wako ni nani, hata ukageuza uso wako kuelekea mbwa aliyekufa+ kama mimi?” Methali 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Matokeo ya unyenyekevu na kumwogopa Yehova ni utajiri na utukufu na uzima.+ Mathayo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+
43 Kwa hiyo Mfilisti akamwambia Daudi: “Je, mimi ni mbwa+ hivi kwamba unijie na fimbo?” Basi huyo Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake.+
8 Basi akasujudu na kusema: “Mtumishi wako ni nani, hata ukageuza uso wako kuelekea mbwa aliyekufa+ kama mimi?”