Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Matendo 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’ ”+
5 Na Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’ ”+