2 Wafalme 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hazaeli akasema: “Mimi mtumishi wako, ambaye ni mbwa tu, ninawezaje kufanya jambo kama hilo?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha kwamba wewe utakuwa mfalme wa Siria.”+
13 Hazaeli akasema: “Mimi mtumishi wako, ambaye ni mbwa tu, ninawezaje kufanya jambo kama hilo?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha kwamba wewe utakuwa mfalme wa Siria.”+