2 Samweli 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mume wake akaendelea kutembea pamoja naye, akilia huku akimfuata mpaka Bahurimu.+ Ndipo Abneri akamwambia: “Nenda, rudi!” Hivyo akarudi. 2 Samweli 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho.
16 Lakini mume wake akaendelea kutembea pamoja naye, akilia huku akimfuata mpaka Bahurimu.+ Ndipo Abneri akamwambia: “Nenda, rudi!” Hivyo akarudi.
18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho.