Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+

  • 2 Samweli 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho.

  • 1 Wafalme 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na tazama, Shimei+ mwana wa Gera, Mbenyamini, kutoka Bahurimu+ yupo pamoja nawe, naye ndiye aliyenilaani kwa laana kali+ siku ile nilipokuwa nikienda Mahanaimu;+ naye ndiye aliyeshuka kuja kunipokea kwenye Yordani,+ hivi kwamba nikamwapia kwa Yehova, nikisema, ‘Mimi sitakuua kwa upanga.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki