2 Na sasa tazameni, mfalme anatembea mbele yenu!+ Lakini mimi nimezeeka+ nami nina mvi,+ na tazameni, wanangu wako pamoja nanyi,+ nami nimetembea mbele yenu tangu ujana wangu mpaka leo hii.+
4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+