1 Samweli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+ Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+
19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+
6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+