Zaburi 71:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+ Methali 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kichwa chenye mvi ni taji la uzuri+ kinapopatikana katika njia ya uadilifu.+ Methali 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Uzuri wa vijana ni nguvu zao,+ na utukufu wa wazee ni kichwa chao chenye mvi.+ Isaya 46:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+
18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+
4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+