Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Methali 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kichwa chenye mvi ni taji la uzuri+ kinapopatikana katika njia ya uadilifu.+
32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.