Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Ayubu 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nilisema, ‘Siku zinapaswa kusema,Na wingi wa miaka ndio unaopaswa kujulisha hekima.’+ Methali 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Uzuri wa vijana ni nguvu zao,+ na utukufu wa wazee ni kichwa chao chenye mvi.+
32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.