1 Wafalme 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana na wanaume wazee+ waliomhudumia Sulemani baba yake alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+ Ayubu 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, hekima haimo katikati ya wazee+Na uelewaji katika wingi wa siku?
6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana na wanaume wazee+ waliomhudumia Sulemani baba yake alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+