2 Samweli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Baadaye Absalomu akamwambia Ahithofeli: “Toeni shauri lenu.+ Tufanye nini?” Methali 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakati ambapo hakuna mwongozo stadi, watu huanguka;+ lakini kwa wingi wa washauri kuna wokovu.+ Methali 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Uzuri wa vijana ni nguvu zao,+ na utukufu wa wazee ni kichwa chao chenye mvi.+