1 Wafalme 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Baba yangu aliifanya nira yenu kuwa nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+ Isaya 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu,+ wakuu wa Nofu+ wamedanganywa, wakuu wa makabila+ yake wamesababisha Misri iende huku na huku.
14 Naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Baba yangu aliifanya nira yenu kuwa nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+
13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu,+ wakuu wa Nofu+ wamedanganywa, wakuu wa makabila+ yake wamesababisha Misri iende huku na huku.