2 Mambo ya Nyakati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana+ na wanaume wazee waliokuwa wakimhudumia Sulemani baba yake sikuzote alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+ Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+
6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana+ na wanaume wazee waliokuwa wakimhudumia Sulemani baba yake sikuzote alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+