Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Watiro+ walikaa katika jiji, wakiingiza samaki na kila namna ya mali+ na kuwauzia wana wa Yuda katika siku ya sabato Yerusalemu.

  • Ezekieli 27:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Maghala+ yako yalipotoka katika bahari kuu,+ uliwashibisha watu wengi.+ Kwa wingi wa vitu vyako vyenye thamani na vitu vyako vya biashara uliwatajirisha wafalme wa dunia.+

  • Ezekieli 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa wingi wa hekima yako,+ kwa mali zako za mauzo,+ umefanya utajiri wako uwe mwingi,+ nao moyo wako ukaanza kuwa na majivuno kwa sababu ya utajiri wako.” ’+

  • Ezekieli 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “ ‘ “Kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ kwa sababu ya ukosefu wa haki wa mali zako za mauzo,+ umepatia unajisi patakatifu pako. Nami nitatokeza moto kutoka katikati yako. Huo ndio utakaokuteketeza.+ Nami nitakufanya kuwa majivu juu ya dunia mbele ya macho ya wale wanaokuona.+

  • Zekaria 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Tiro nalo likajijengea boma, na kukusanya fedha kama mavumbi na dhahabu kama matope ya barabarani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki