16 “ ‘ “Kwa sababu ya wingi wa mali zako za mauzo+ walikujaza jeuri katikati yako, nawe ukaanza kutenda dhambi.+ Nami nitakufukuza kama uliye najisi kutoka katika mlima wa Mungu, nami nitakuharibu wewe,+ Ee kerubi unayefunika, kutoka katikati ya mawe yenye moto.