21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+
12 “ ‘ “Tarshishi+ alikuwa mwanabiashara wako kwa sababu ya wingi wa namna zote za vitu vyenye thamani.+ Kwa ajili ya fedha yake, chuma, bati na risasi, maghala yake yalitolewa.+