Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kundi la meli la Hiramu+ lililochukua dhahabu kutoka Ofiri+ likaleta pia kutoka Ofiri mbao za misandali+ kwa wingi sana na mawe ya thamani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ pamoja na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja kila miaka mitatu meli za Tarshishi zilikuja, zikiwa zimebeba dhahabu na fedha,+ pembe za tembo,+ na sokwe na tausi.+

  • Ezekieli 27:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘ “Tarshishi+ alikuwa mwanabiashara wako kwa sababu ya wingi wa namna zote za vitu vyenye thamani.+ Kwa ajili ya fedha yake, chuma, bati na risasi, maghala yake yalitolewa.+

  • Yoeli 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa sababu ninyi mmechukua fedha yangu mwenyewe na dhahabu yangu,+ nanyi mmeleta vitu vyangu vilivyo vyema katika mahekalu yenu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki