4 kwa sababu ya siku ambayo inakuja kuwapora Wafilisti+ wote, kumkatilia mbali kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila mwenye kuokoka aliyekuwa akisaidia.+ Kwa maana Yehova anawapora Wafilisti,+ ambao ni mabaki kutoka kisiwa cha Kaftori.+
8 Nami nitawauza wana wenu na binti zenu mikononi mwa wana wa Yuda,+ nao watawauza kwa watu wa Sheba,+ taifa lililo mbali;+ kwa maana Yehova amesema hayo.