15 ndipo Wasabea+ wakavamia na kuwachukua, nao wakawapiga na kuwaua watumishi kwa makali ya upanga; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”+
22 Wafanya-biashara wa Sheba+ na Raama+ wenyewe walikuwa wafanya-biashara wako; kwa ajili ya namna zote za manukato yaliyo bora zaidi na kwa ajili ya namna zote za mawe ya thamani na dhahabu, maghala yako yalitolewa.+