2 Mwishowe akafika Yerusalemu pamoja na msafara wenye kuvutia sana,+ ngamia+ wenye kuchukua mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe ya thamani; naye akaingia kwa Sulemani, na malkia huyo akaanza kumwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake.+
6 Wingi unaosukasuka wa ngamia utakufunika, ngamia-dume wachanga wa Midiani na wa Efa.+ Wale wote kutoka Sheba+—watakuja. Watabeba dhahabu na ubani. Nao watatangaza sifa za Yehova.+