9 Basi Hazaeli akaenda kumpokea, akachukua zawadi mkononi mwake, naam, kila namna ya kitu chema cha Damasko, mzigo wa ngamia 40, akaja na kusimama mbele yake, akasema: “Mwana+ wako, Ben-hadadi, mfalme wa Siria, amenituma kwako, kusema, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’”