Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Waulize hao vijana wako, nao watakuambia, ndipo vijana wangu wapate kibali machoni pako, kwa kuwa tumekuja siku nzuri. Tafadhali, wape watumishi wako na Daudi mwana wako chochote ambacho mkono wako unaweza kupata.’”+

  • 2 Wafalme 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Elisha mara alipowaona: “Je, niwapige, je, niwapige,+ baba yangu?”+

  • 2 Wafalme 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Elisha+ alikuwa ameshikwa na ugonjwa ambao ulikuwa wa kumuua.+ Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kuja kwake, akaanza kulia juu ya uso wake, akisema: “Baba yangu,+ baba yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki