2 Wafalme 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa Elisha+ alipougua ugonjwa ambao hatimaye ulisababisha kifo chake, Yehoashi mfalme wa Israeli alishuka kwenda kwake na kumlilia akisema: “Baba yangu, baba yangu! Gari la vita la Israeli na wapanda farasi wake!”+
14 Sasa Elisha+ alipougua ugonjwa ambao hatimaye ulisababisha kifo chake, Yehoashi mfalme wa Israeli alishuka kwenda kwake na kumlilia akisema: “Baba yangu, baba yangu! Gari la vita la Israeli na wapanda farasi wake!”+