Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo wote Elisha alikuwa akiona jambo hilo, naye alikuwa analia hivi: “Baba yangu, baba+ yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+ Naye hakumwona tena. Basi akachukua mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.+

  • 2 Wafalme 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa watumishi wake wakakaribia, wakamwambia: “Baba yangu,+ kama nabii angelikuambia jambo kubwa, je, wewe hungelifanya? Basi si zaidi, kwa kuwa alikuambia, ‘Oga, uwe safi’?”

  • 2 Wafalme 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Elisha+ alikuwa ameshikwa na ugonjwa ambao ulikuwa wa kumuua.+ Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kuja kwake, akaanza kulia juu ya uso wake, akisema: “Baba yangu,+ baba yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki