12 Wakati huo wote Elisha alikuwa akiona jambo hilo, naye alikuwa analia hivi: “Baba yangu, baba+ yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+ Naye hakumwona tena. Basi akachukua mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.+
13 Sasa watumishi wake wakakaribia, wakamwambia: “Baba yangu,+ kama nabii angelikuambia jambo kubwa, je, wewe hungelifanya? Basi si zaidi, kwa kuwa alikuambia, ‘Oga, uwe safi’?”
14 Naye Elisha+ alikuwa ameshikwa na ugonjwa ambao ulikuwa wa kumuua.+ Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kuja kwake, akaanza kulia juu ya uso wake, akisema: “Baba yangu,+ baba yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+