13 Sasa watumishi wake wakakaribia, wakamwambia: “Baba yangu,+ kama nabii angelikuambia jambo kubwa, je, wewe hungelifanya? Basi si zaidi, kwa kuwa alikuambia, ‘Oga, uwe safi’?”
2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+
15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+