Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa watumishi wake wakakaribia, wakamwambia: “Baba yangu,+ kama nabii angelikuambia jambo kubwa, je, wewe hungelifanya? Basi si zaidi, kwa kuwa alikuambia, ‘Oga, uwe safi’?”

  • Matendo 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+

  • 1 Wakorintho 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na watunzaji+ elfu kumi katika Kristo, hakika hamna baba wengi;+ kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki