-
2 Wafalme 5:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Basi watumishi wake wakamkaribia na kumwambia: “Baba yangu, kama nabii huyo angekwambia ufanye jambo fulani lisilo la kawaida, je, hungefanya? Je, wakati huu hupaswi kufanya zaidi, kwa kuwa amekuambia tu, ‘Oga, uwe safi’?”
-