2 Wafalme 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo wote Elisha alikuwa akiona jambo hilo, naye alikuwa analia hivi: “Baba yangu, baba+ yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+ Naye hakumwona tena. Basi akachukua mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.+ 2 Wafalme 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Elisha mara alipowaona: “Je, niwapige, je, niwapige,+ baba yangu?”+
12 Wakati huo wote Elisha alikuwa akiona jambo hilo, naye alikuwa analia hivi: “Baba yangu, baba+ yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+ Naye hakumwona tena. Basi akachukua mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.+
21 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Elisha mara alipowaona: “Je, niwapige, je, niwapige,+ baba yangu?”+