Ezekieli 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa sababu ya biashara zako nyingi,+ Ulijaa ukatili, nawe ukaanza kutenda dhambi.+ Basi nitakufukuza kutoka kwenye mlima wa Mungu kama kitu kilicho najisi na kukuangamiza,+ Mbali kutoka kwenye mawe ya moto, ewe kerubi unayefunika.
16 Kwa sababu ya biashara zako nyingi,+ Ulijaa ukatili, nawe ukaanza kutenda dhambi.+ Basi nitakufukuza kutoka kwenye mlima wa Mungu kama kitu kilicho najisi na kukuangamiza,+ Mbali kutoka kwenye mawe ya moto, ewe kerubi unayefunika.