21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja baada ya kila miaka mitatu, meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejazwa dhahabu na fedha, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi.
12 “‘“Watu wa Tarshishi+ walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mwingi.+ Walibadilisha fedha, chuma, bati, na risasi kwa ajili ya bidhaa zako.+