Isaya 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi mwenyewe ameamua hivi,Kutia unajisi kiburi chake kwenye uzuri wake wote,Kuwafedhehesha wote walioheshimiwa duniani kote.+ Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 wafalme wote wa Tiro, wafalme wote wa Sidoni,+ na wafalme wa kisiwa kilicho baharini; Yeremia 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu siku inayokuja itawaangamiza Wafilisti wote;+Itamwangamiza kabisa kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila msaidizi aliyebaki. Kwa maana Yehova atawaangamiza Wafilisti,Ambao wamebaki wa kisiwa cha Kaftori.*+ Yoeli 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitawauza wana wenu na mabinti wenu kwa watu wa Yuda,+Nao watawauza kwa wanaume wa Sheba, kwa taifa lililo mbali sana;Kwa maana Yehova mwenyewe amesema hilo.
9 Yehova wa majeshi mwenyewe ameamua hivi,Kutia unajisi kiburi chake kwenye uzuri wake wote,Kuwafedhehesha wote walioheshimiwa duniani kote.+
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
4 Kwa sababu siku inayokuja itawaangamiza Wafilisti wote;+Itamwangamiza kabisa kutoka Tiro+ na kutoka Sidoni+ kila msaidizi aliyebaki. Kwa maana Yehova atawaangamiza Wafilisti,Ambao wamebaki wa kisiwa cha Kaftori.*+
8 Nitawauza wana wenu na mabinti wenu kwa watu wa Yuda,+Nao watawauza kwa wanaume wa Sheba, kwa taifa lililo mbali sana;Kwa maana Yehova mwenyewe amesema hilo.