19 Watamiliki Negebu na eneo lenye milima la Esau,+
Shefela na nchi ya Wafilisti.+
Watamiliki shamba la Efraimu na shamba la Samaria,+
Na Benjamini atamiliki Gileadi.
20 Waliohamishwa kutoka katika boma hili,+
Naam, Waisraeli, watamiliki nchi ya Wakanaani mpaka Sarefathi.+
Na waliohamishwa kutoka Yerusalemu, waliokuwa Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+