Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baada ya hapo Tera akamchukua mwana wake Abramu, na mjukuu wake Loti,+ mwana wa Harani, na binti-mkwe wake Sarai,+ mke wa mwana wake Abramu, nao wakaondoka Uru la Wakaldayo pamoja naye ili kwenda katika nchi ya Kanaani.+ Baadaye wakaja Harani+ na kukaa huko.

  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, lile pambo la falme,+ uzuri wa fahari ya Wakaldayo,+ litakuwa kama wakati Mungu alipoangamiza Sodoma na Gomora.+

  • Isaya 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Shuka uje uketi mavumbini,+ Ee binti ya Babiloni+ uliye bikira. Keti chini mahali ambapo hakuna kiti cha ufalme,+ Ee binti ya Wakaldayo.+ Kwa kuwa hutaona tena kwamba watu wanakuita wewe mwororo na aliye laini.+

  • Habakuki 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki