Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake.

  • Isaya 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na itatukia kwamba Yehova atakapokomesha kazi yake yote katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu, ndipo nitakapotoza hesabu kwa ajili ya matunda ya dharau la moyo wa mfalme wa Ashuru na kwa ajili ya kujihesabia makuu kwa majivuno ya macho yake.+

  • Isaya 30:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana Ashuru itaingiwa na woga kwa sababu ya sauti ya Yehova;+ yeye ataipiga kwa fimbo.+

  • Nahumu 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Wachungaji wako wamesinzia,+ Ee mfalme wa Ashuru; wenye fahari wako wanakaa katika makao yao.+ Watu wako wametawanywa juu ya milima, wala hakuna anayewakusanya pamoja.+

  • Sefania 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Naye atanyoosha mkono wake kuelekea kaskazini, naye ataangamiza Ashuru.+ Naye atafanya Ninawi kuwa mahame yenye ukiwa,+ eneo lisilo na maji kama nyika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki