Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 76:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wenye nguvu moyoni wameporwa,+

      Wamesinzia na kulala usingizi,+

      Wala hakuna hata mmoja wa wanaume mashujaa ambaye ameiona mikono yake.+

  • Isaya 56:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Walinzi wake ni vipofu.+ Hakuna hata mmoja wao ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu; hawawezi kubweka,+ wanahema, wanalala chini, wanapenda kusinzia.+

  • Yeremia 51:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Wakati watakapokuwa wamesisimuka nitaweka karamu zao na kuwalewesha, ili wafurahi;+ nao watalala usingizi unaodumu mpaka wakati usio na kipimo, ambamo hawataamka,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki