17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+
8 Ninawi naye, tangu siku ambazo amekuwako,+ alikuwa kama kidimbwi cha maji;+ lakini wanakimbia. “Simameni tuli! Simameni tuli!” Lakini hakuna anayegeuka.+
15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.