- 
	                        
            
            Ezekieli 33:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        27 “Unapaswa kuwaambia hivi, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kama ninavyoishi, hakika wale walio katika mahali palipoharibiwa wataanguka kwa upanga;+ na yule aliye katika shamba, hakika nitamfanya awe chakula cha mnyama-mwitu;+ na wale walio katika mahali imara na katika mapango+ watakufa kwa tauni. 
 
-