Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche katika mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova, na kutoka mbele ya ukuu wake wa fahari.+

  • Isaya 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miamba na ndani ya mashimo ya mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova na kutoka mbele ya ukuu wake wenye fahari,+ atakaposimama ili dunia ipatwe na mitetemeko.+

  • Ezekieli 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Unapaswa kuwaambia hivi, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kama ninavyoishi, hakika wale walio katika mahali palipoharibiwa wataanguka kwa upanga;+ na yule aliye katika shamba, hakika nitamfanya awe chakula cha mnyama-mwitu;+ na wale walio katika mahali imara na katika mapango+ watakufa kwa tauni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki