Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 76:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+

      Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+

  • Isaya 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche katika mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova, na kutoka mbele ya ukuu wake wa fahari.+

  • Luka 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo watakapoanza kuiambia milima, ‘Tuangukieni!’ na vilima, ‘Tufunikeni!’+

  • 2 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+

  • Ufunuo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki