Zaburi 76:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+ Isaya 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche katika mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova, na kutoka mbele ya ukuu wake wa fahari.+ Luka 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo watakapoanza kuiambia milima, ‘Tuangukieni!’ na vilima, ‘Tufunikeni!’+ 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+ Ufunuo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.
7 Wewe—ni mwenye kuogopesha,+Na ni nani anayeweza kusimama mbele zako kwa sababu ya nguvu za hasira yako?+
10 Ingia ndani ya mwamba, ujifiche katika mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova, na kutoka mbele ya ukuu wake wa fahari.+
9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+
15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.