Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miamba na ndani ya mashimo ya mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova na kutoka mbele ya ukuu wake wenye fahari,+ atakaposimama ili dunia ipatwe na mitetemeko.+

  • Hosea 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Israeli,+ pataangamizwa. Miiba na mibaruti+ itakuja juu ya madhabahu zao.+ Na hakika watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ na vilima, ‘Tuangukieni!’+

  • Ufunuo 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka usoni pa Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwana-Kondoo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki