19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miamba na ndani ya mashimo ya mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova na kutoka mbele ya ukuu wake wenye fahari,+ atakaposimama ili dunia ipatwe na mitetemeko.+
8 Na mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Israeli,+ pataangamizwa. Miiba na mibaruti+ itakuja juu ya madhabahu zao.+ Na hakika watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’ na vilima, ‘Tuangukieni!’+
16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka usoni pa Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwana-Kondoo,+